1876
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1840 | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | ►
◄◄ | ◄ | 1872 | 1873 | 1874 | 1875 | 1876 | 1877 | 1878 | 1879 | 1880 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1876 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1876 MDCCCLXXVI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5636 – 5637 |
Kalenda ya Ethiopia | 1868 – 1869 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1325 ԹՎ ՌՅԻԵ |
Kalenda ya Kiislamu | 1293 – 1294 |
Kalenda ya Kiajemi | 1254 – 1255 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1931 – 1932 |
- Shaka Samvat | 1798 – 1799 |
- Kali Yuga | 4977 – 4978 |
Kalenda ya Kichina | 4572 – 4573 乙亥 – 丙子 |
- 23 Januari - Otto Diels (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1950)
- 2 Machi - Papa Pius XII
- 22 Aprili - Robert Barany (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1914)
- 29 Aprili - Zauditu, Malkia mtawala wa Uhabeshi
- 1 Julai – Susan Glaspell (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1931)
- 3 Julai – Ralph Barton Perry (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1936)
- 6 Septemba - John Macleod (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1923)
- 25 Desemba - Adolf Windaus (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1928)
bila tarehe
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 4 Juni - Abdulaziz I, Sultani wa Milki ya Osmani (1861-1876)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: