1878
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1840 | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | ►
◄◄ | ◄ | 1874 | 1875 | 1876 | 1877 | 1878 | 1879 | 1880 | 1881 | 1882 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1878 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 20 Februari - Uchaguzi wa Papa Leo XIII
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1878 MDCCCLXXVIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5638 – 5639 |
Kalenda ya Ethiopia | 1870 – 1871 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1327 ԹՎ ՌՅԻԷ |
Kalenda ya Kiislamu | 1295 – 1296 |
Kalenda ya Kiajemi | 1256 – 1257 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1933 – 1934 |
- Shaka Samvat | 1800 – 1801 |
- Kali Yuga | 4979 – 4980 |
Kalenda ya Kichina | 4574 – 4575 丁丑 – 戊寅 |
- 6 Januari – Carl Sandburg (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1940)
- 10 Mei - Gustav Stresemann (mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926)
- 28 Agosti - George Whipple (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934)
- 20 Septemba - Upton Sinclair, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Novemba - Carlos Saavedra Lamas (mwanasiasa wa Argentina na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1936)
- 18 Desemba - Josef Stalin, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti 1924-53
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: