Mwanzo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Karibu kwenye Wikipedia,
Hadi leo tuna makala takriban 34,618 kwa Kiswahili
     

     

Kamusi Elezo ya Kiswahili

Karibu kwenye Wikipedia ya Kiswahili!

Wikipedia ni mradi wa kuandika kamusi elezo kamili na sahihi ya maandishi huru.

Kila mtu anaweza kuhariri makala yoyote, kutoa makosa ya lugha, kutohoa maneno na kuendeleza na kukuza makala, kwa kuandika kwa ufupi au kwa urefu. Tunakushauri ujiandikishe na kufungua akaunti. Angalia Msaada wa kuanzisha makala ili ujifunze unavyoweza kuhariri au kusanifisha ukurasa. Usisite kushiriki; kwa sababu huu ni mradi wa ushirikiano, na hautaisha kamwe. Kamusi elezo itaimarika vizuri zaidi kila wakati. Angalia ukurasa wa jumuia, ukurasa wa jamii, na ule wa makala za msingi za kamusi elezo ili kung'amua unaweza kufanya kazi zipi ili kuboresha Wikipedia.


Je, wajua...

Kutoka kwenye mkusanyiko wa makala za Wikipedia:

Ngorongoro



Makala ya wiki

Kimondo cha chuma kilichopatikaka huko Tuva, Urusi

Vimondo (pia: meteori au meteoridi) ni magimba madogo ya angani yanayozunguka jua. Yanaweza kuangukia duniani yakionekana kama moto angani. Ukubwa wa kimondo ni kuanzia punje ya mchanga hadi kufikia kipenyo cha mita kadhaa. Hivyo kimondo ni kidogo kuliko asteoridi na kikubwa kushinda vumbi la angani. Obiti ya kimondo inaweza kuingiliana na obiti ya dunia au sayari nyingine. Kimondo kikilikaribia gimba la angani kubwa zaidi kinavutwa nalo. Kikikaribia mno dunia yetu kinaingia katika angahewa na kuanguka chini kwa kasi kubwa sana. Njiani kinapashwa moto kutokana na shindikizo la hewa dhidi yake. Kiasi cha joto kinatosha kuchoma kabisa kimondo kidogo hewani. Hii inaonekana kwa macho matupu kama mstari wa moto angani. Kama kimondo ni kikubwa zaidi ni sehemu zake za nje tu zinazochomwa na kiini kinagonga uso wa dunia. Kati ya vimondo kumi vikubwa kabisa duniani ambavyo mabaki yake yanaonekana, kimojawapo ni Kimondo cha Mbozi nchini Tanzania. ►Soma zaidi


Picha nzuri ya wiki

Ng'ombe

Ng'ombe ni wanyama wakubwa wa jenasi Bos. Spishi ya ng'ombe ina nususpishi au aina nyingi lakini ni spishi moja tu.

Ng'ombe hula manyasi na kutembea kwa vidole viwili. Asili yake ni aina za ng'ombe wa pori waliofugwa kwa sababu ya nyama na maziwa. Katika nchi nyingi anatumiwa pia kama mnyama wa mizigo anayevuta plau au magari.

Wataalamu huamini ya kwamba aina zote za ng'ombe zina asili katika mashariki ya kati mnamo milenia ya 9 KK ambako watu waliwahi kuwafuga nas kutoka hapa ufugaji ng'ombe ulisambaa kote duniani.

Takwimu ya Wikipedia ya Kiswahili

  • Idadi ya makala: 34,618
  • Idadi ya kurasa zote: 82,528 (pamoja na kurasa za watumiaji, majadiliano, msaada n.k.)
  • Idadi ya hariri: 1,027,532
  • Idadi ya watumiaji waliojiandikisha: 25,537
  • Idadi ya wakabidhi: 9
  • Idadi ya watumiaji hai: 44 (Watumiaji waliojiandikisha na kuchangia katika muda wa siku 30 zilizopita)
Bofya hapa kwa kupata namba za sasa
Angalia idadi ya wasomaji kwa makala mbalimbali
(fungua anwani kwa browser yako, badilisha "Mwanzo" kwa jina la makala (hadi makala 10) unayopenda. Unaweza kubadilisha kipindi cha taarifa utakachoona; takwimu kabla ya 2015 hapa)
  • na makala 100 zilizotazamiwa zaidi "Topviews" kwa kipindi fulani.
(unachagua kati ya makala 100 kwa mwezi au kwa siku)

Jumuia za Wikimedia

Commons
Ghala ya Nyaraka za Picha na Sauti
Meta-Wiki
Uratibu wa Miradi yote ya Wikimedia
Wiktionary-logo.svg
Wikamusi
Kamusi na Tesauri
Wikibooks-logo.png
Wikitabu
Vitabu vya bure na Miongozo ya Kufundishia
Wikiquote-logo-51px.png
Wikidondoo
Mkusanyiko wa Nukuu Huria
Wikisource-logo.png
Wikisource
Nyaraka Huru na za Bure
Wikispishi
Kamusi ya Spishi
Graduation cap.png
Wikichuo
Jumuia ya elimu
Wikinews-logo.png
Wikihabari
Habari Huru na Bure