2007
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2003 |
2004 |
2005 |
2006 |
2007
| 2008
| 2009
| 2010
| 2011
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2007 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2022 MMXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5782 – 5783 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2775 |
Kalenda ya Ethiopia | 2014 – 2015 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1471 ԹՎ ՌՆՀԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1444 – 1445 |
Kalenda ya Kiajemi | 1400 – 1401 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2077 – 2078 |
- Shaka Samvat | 1944 – 1945 |
- Kali Yuga | 5123 – 5124 |
Kalenda ya Kichina | 4718 – 4719 辛丑 – 壬寅 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 4 Januari - Juma Jamaldin Akukweti, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Januari - Alice Lakwena wa Uganda
- 7 Februari - Alan MacDiarmid, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 27 Machi - Paul Lauterbur, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2003
- 23 Aprili - Boris Yeltsin, Rais wa Urusi (1991-1999)
- 8 Mei - Abdullah_bin_Faisal_Al_Saud, mwana wa Mfalme wa Saudia
- 18 Mei - Pierre de Gennes (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1991)
- 30 Mei - William Meredith, mshairi kutoka Marekani
- 9 Juni - Achieng Oneko, mwanasiasa wa Kenya
- 26 Juni - Amina Chifupa, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Julai - Ernst Otto Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 30 Julai - Ingmar Bergman, mwongozaji wa filamu kutoka Uswidi
- 16 Agosti - Max Roach, mwanamuziki kutoka Marekani
- 8 Septemba - Shenazi Salum, mwigizaji wa filamu kutoka Tanzania
- 18 Oktoba - Lucky Dube, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 24 Oktoba - Salome Joseph Mbatia, mwanasiasa wa kike kutoka Tanzania
- 3 Novemba - Suzanne Bachelard, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 10 Novemba - Norman Mailer, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Desemba - Elisabeth Eybers, mwandishi wa Afrika Kusini
- 16 Desemba - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Desemba - Oscar Peterson, mwanamuziki kutoka Kanada
- 27 Desemba - Benazir Bhutto, mwanasiasa kutoka Pakistan aliuawa
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: