Majiranukta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jump to navigation Jump to search
Mfumo majira wa kawaida.

Majiranukta (pia: mfumo majiranukta; mfumo majira katesia kufuatana na Rene Descartes) ni mbinu ya hisabati unaoeleza nafasi ya kila nukta katika seti ya namba.

Majiranukta ya kawaida hueleza nafasi ya nukta katika tambarare.

Nafasi zote zinapangwa kwa njia ya majira (majiranukta) 2 yanaoitwa

  • jira-x jiramlalo
  • jira-y au jirawima

Majiranukta hupatikana kwa kueleza mistari miwili sulubi, moja ukipita kwenye jira-y na mwingine kwenye jira-x. Inapokutana ni nafasi ya nukta inayoelezwa.

Majiranukta kama anwani ya kijiografia[hariri | hariri chanzo]

Mfumo wa majiranukta hutumiwa kutaja mahali duniani kwa kutumia longitudo na latitudo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Majiranukta kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.