Phi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jump to navigation Jump to search
Phi uc lc.svg
Alfabeti ya Kigiriki
Herufi za kawaida
Α α Alfa 1 Ν ν Ni 50
Β β Beta 2 Ξ ξ Ksi 60
Γ γ Gamma 3 Ο ο Omikron 70
Δ δ Delta 4 Π π Pi 80
Ε ε Epsilon 5 Ρ ρ Rho 100
Ζ ζ Dzeta 7 Σ σ ς Sigma 200
Η η Eta 8 Τ τ Tau 300
Θ θ Theta 9 Υ υ Ipsilon 400
Ι ι Iota 10 Φ φ Phi 500
Κ κ Kappa 20 Χ χ Khi 600
Λλ Lambda 30 Ψ ψ Psi 700
Μ μ Mi 40 Ω ω Omega 800
Herufi za kihistoria1
Digamma uc lc.svg Digamma 6 San uc lc.svg San 90
Stigma uc lc.svg Stigma 6 Sho uc lc.svg Sho 90
Heta uc lc.svg Heta 8 Qoppa uc lc.svg Koppa 90
Sampi uc lc T-shaped.svg Sampi 900
1 Viungo vya Nje:
Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje

Phi (Φ φ) ni herufi ya ishirini na moja katika alfabeti ya Kigiriki.

Asili yake haijulikani kwa hakika.

Matamshi yake ni "f".

Katika Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikimaanisha namba 500.

Kama herufi nyingine za Kigiriki, phi inatumika katika hisabati na sayansi kama kifupisho cha dhana au vipimo mbalimbali.