1991
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1987 |
1988 |
1989 |
1990 |
1991
| 1992
| 1993
| 1994
| 1995
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1991 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 21 Machi - Nchi ya Namibia inapata uhuru kutoka Afrika Kusini.
- 30 Agosti - Nchi ya Azerbaijan inatangaza uhuru wake kutoka Umoja wa Kisovyeti.
- 21 Septemba - Nchi ya Armenia inapata uhuru rasmi kutoka Umoja wa Kisovyeti.
- 8 Desemba - Mwisho wa Umoja wa Kisovyeti, kuundwa kwa Jumuiya ya nchi huria
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1991 MCMXCI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5751 – 5752 |
Kalenda ya Ethiopia | 1983 – 1984 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1440 ԹՎ ՌՆԽ |
Kalenda ya Kiislamu | 1412 – 1413 |
Kalenda ya Kiajemi | 1369 – 1370 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2046 – 2047 |
- Shaka Samvat | 1913 – 1914 |
- Kali Yuga | 5092 – 5093 |
Kalenda ya Kichina | 4687 – 4688 庚午 – 辛未 |
- 26 Januari - Conrad George Rutangantevyi, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 10 Machi - Nyasha Mutsauri, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
- 2 Mei - Jung Jin-woon, mwanamuziki kutoka Korea Kusini
- 22 Agosti - Macheda, mchezaji mpira kutoka Italia
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 11 Januari - Carl David Anderson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1936
- 30 Januari - John Bardeen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia miaka ya 1956 na 1972
- 6 Februari - Salvador Luria, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1969
- 12 Machi - Ragnar Granit, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
- 12 Aprili - James Schuyler, mshairi kutoka Marekani
- 26 Aprili – Alfred Bertram Guthrie, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1950
- 8 Mei - Joseph Kramm, mwandishi kutoka Marekani
- 5 Julai - Howard Nemerov, mshairi kutoka Marekani
- 24 Julai - Isaac Bashevis Singer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1978
- 9 Agosti - Michał Tomaszek, mfiadini kutoka Poland aliyeuawa nchini Peru
- 9 Agosti - Zbigniew Strzałkowski, mfiadini kutoka Poland aliyeuawa nchini Peru
- 7 Septemba - Edwin McMillan, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1951
- 24 Septemba - Theodor Seuss Geisel (anajulikana hasa kama Dr. Seuss, mwandishi Mmarekani kwa watoto)
- 25 Septemba - Klaus Barbie, mwanajeshi wa SS ya Adolf Hitler
- 28 Septemba - Miles Davis, mwanamuziki kutoka Marekani
- 23 Novemba - Klaus Kinski, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 28 Desemba - Cassandra Harris, mwigizaji filamu kutoka Australia
bila tarehe
- Jack Cope, mwandishi wa Afrika Kusini
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: