Tweet
- Tweet, halaman semasa.
- Tweet & balasan
- Media
Anda telah menyekat @XHSwahili
Adakah anda pasti anda mahu melihat Tweet ini? Melihat Tweet tidak akan menyekat @XHSwahili
-
Mchanganyiko huu wa picha unaonyesha wafanyikazi nchini China wakiweka sehemu ya bomba kwenye eneo la ujenzi ya bomba ya kituo cha kupokea gesi asili ya kimiminika (LNG) katika mji wa Tangshan.
#China#LNG#Construction#pipelinepic.twitter.com/d7dcqxONZYTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Wimbi kali la pili la COVID-19 linaendelea kuiathiri Uganda na kiwango cha asilimia 17.1 za kesi zilizothibitishwa nchini humo.
#Uganda#COVID19pic.twitter.com/Vgl6BRl1ZQTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Aina hatari ya ugonjwa wa
#COVID19 maarufu kwa jina Delta, ambayo tayari imeripotiwa katika mataifa zaidi ya 90 kwote ulimwenguni ni kizingiti kikubwa dhidi ya juhudi za kupambana na janga la corona duniani na inaashiria umuhimu wa kujenga kinga ya ulimwengu kwa kuchanja umati.pic.twitter.com/HGd1eO6grkTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) kimejitolea kuleta amani na maendeleo kwa wanadamu wote, kulingana na ujumbe wa jarida nyeupe lililotolewa hii leo (Alhamisi). http://xhtxs.cn/gKX pic.twitter.com/Xt04Komlaj
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Je, unamkumbuka yule mwanamke kutoka Africa Kusini ambaye aligonga vichwa vya habari baada ya kuripotiwa kujifungua watoto 10? Sasa imebainika kuwa alipotosha umma kwa kuwa hajawahi kubeba mimba katika miezi zilizopita- mamlaka ya mkoa wa Guateng imearifu.
#SouthAfricapic.twitter.com/DaFHWGqNZwTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Mbwa waliookolewa wanapokea mafunzo katika chuo kikuu cha Ufilipino (UP) huko Manila.Kitengo cha uokoaji cha UP Sagip K9 kinakusudia kutafuta kusudi na utunzaji wa mbwa ambao waliachwa bila kulishwa, kupitia mafunzo ya utaftaji na uokoaji. http://xhtxs.cn/gKn pic.twitter.com/sdw3vnlJu6
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Tazama miamba haya nchini New Zealand yanayojulikana kwa majina “Dada watatu” na “Tembo” yanayopatikana kwenye pwani ya Taranaki Kaskazini.
#NewZealand#rockspic.twitter.com/NaGJyaGZ1bTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Watu wawili waliuawa na wengine 15 kujeruhiwa jana nchini Pakistan baada ya mlipuko mkubwa kuzuka katika eneo la makazi ya mji wa Lahore, mashariki mwa nchi hiyo.
#Pakistan#explosionpic.twitter.com/Mj1uvT7VG4Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Kizazi kipya cha muundo wa treni ya mwendokasi ya China maarufu kwa jina "Fuxing" kuzinduliwa kesho (Juni 25) wakati huu treni hizo zikiwa na teknolojia zilizosasishwa ikiwemo mtandao wa kizazi cha tano (5G), mabehewa yenye hoteli za kifahari na teknolojia zingine.
#Fuxingpic.twitter.com/YaMlDBDTAOTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Gavana wa Jimbo la New York Andrew Cuomo Jumatano alitangaza kuwa jimbo hilo litasitisha hali ya dharura iliyokuwa imetangazwa ya jimbo zima siku ya Alhamisi (leo) kutokana na maendeleo makubwa ambayo yamepatikana katika kupambana na janga la COVID-19.pic.twitter.com/9bX9vTyNww
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Wanamgambo wa Taliban wameongeza mashambulizi yao nchini Afganistan tangu kuanza kwa kuondoka kwa wanajeshi wanaoongozwa na Marekani mnamo Mei 1, na wamekamata wilaya nyingi wakati maadui wao wa zamani wanajiandaa kupambana nao.
#Afghanistan#Security http://xhtxs.cn/gKt pic.twitter.com/h8YGFVfjLLTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Baada ya wimbi la pili linaloendelea la COVID-19 kuanza kushuka nchini India, wataalam wa afya wameanza kuonya kuhusu kuzuka kwa wimbi jingine iwapo itifaki za kiafya hazitafuatwa kama ipasavyo. http://xhtxs.cn/gKe pic.twitter.com/J2yWzZg5lA
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Panda wa kike nchini Japan, anayejulikana kwa jina Shin Shin, amejifunugua watoto mapacha katika mbuga ya wanyama ya Ueno katika mji mkuu wa Tokyo.
#Japan#Tokyo#pandapic.twitter.com/XD3V1ilrCjTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Waendeshaji magari nchini India wana wakati mgumu kuvuka barabara mjini Bhopal baada ya mvua kubwa kugonga eneo hilo na kusababisha mafuriko.
#India#Bhopal#Flood#floodspic.twitter.com/6djlGr7ckITerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Israeli iliruhusu malori kadhaa ya Wapalestina yaliyobeba bidhaa za kusafirisha nje kupitia njia ya Kerem Shalom, kusini mwa Gaza, kwa siku ya pili baada ya kuifungua tena baada ya siku 40 kwa sababu ya mzozo wa Israeli na Palestina.
#Israel#Palestine http://xhtxs.cn/gG4 pic.twitter.com/pNdjAIl2YgTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Sherehe ilifanyika Jumanne kumkumbuka Fuxi, babu mashuhuri wa taifa la Wachina, katika jiji la Tianshui, kaskazini magharibi mwa Mkoa wa Gansu wa China. Utamaduni wa Fuxi ni moja ya chimbuko la ustaarabu wa Wachina. http://xhtxs.cn/gGt pic.twitter.com/8dtmFywzIL
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Uvunaji wa matunda ya mafuta ya mawese umeanza kwenye shamba la mafuta ya mawese katika wilaya ya Langkat, Sumatra Kaskazini, Indonesia. http://xhtxs.cn/gHI pic.twitter.com/mqWJ48NIq4
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Picha hizi zinaonyesha kijiji kilichofurika cha Djegbadji, nchini Benin.
#Benin#Flood#floodspic.twitter.com/4E1MtS4OsaTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Mkusanyiko huu unaonyesha raia nchini Lebanon wakifurahia michezo ya maji pamoja na kuruka mwamba, kusafiri kwa mashua na kuogelea katika Bahari ya Mediteranea karibu na Mwamba wa Raouch baada ya kesi za ugonjwa wa COVID-19 kushika kwa kiwango cha juu. http://xhtxs.cn/gGH pic.twitter.com/aHbneKCedd
Terima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal -
Serikali ya Rwanda imeonya kuwa haitasita kutangaza awamu ya pili ya amri ya kutotoka nje (lockdown) iwapo watu watazidi kukiuka taratibu za kudhibiti janga la
#COVID19.pic.twitter.com/1DVUzomwNbTerima kasih. Twitter akan menggunakan maklumat ini untuk menjadikan garis masa anda lebih baik. Buat asalBuat asal
Pemuatan nampaknya mengambil sedikit masa.
Twitter mungkin melebihi kapasiti atau mengalami gangguan seketika. Cuba sekali lagi atau lawati Status Twitter untuk mendapatkan maklumat lanjut.