Upadri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Padri)
Rukia: urambazaji, tafuta

Upadri ni daraja takatifu ya kati ya uongozi wa Kanisa Katoliki na madhehebu mengine kadhaa.

Unatolewa na Askofu kwa kumwekea mtu mikono kichwani na kumuombea ili atoe huduma za kikuhani, hasa kwa kuhubiri rasmi Neno la Mungu, kuadhimisha Ekaristi na sakramenti nyingine na kuongoza jumuia za waamini.

Upadri unatolewa kwa namna ya kudumu, usiweze kurudiwa wala kufutwa.

ChristianitySymbol.PNG Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Upadri kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.