1990
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1986 | 1987 | 1988 | 1989 | 1990 | 1991 | 1992 | 1993 | 1994 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1990 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 2 Februari - Rais F. W. de Klerk wa Afrika Kusini anatangaza ya kuwa ANC si marufuku tena.
- 11 Februari - Nelson Mandela anaachishwa gerezani baada ya kukaa miaka 27 jela.
- 23 Agosti - Nchi ya Armenia inatangaza uhuru wake kutoka Umoja wa Kisovyeti.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1990 MCMXC |
Kalenda ya Kiyahudi | 5750 – 5751 |
Kalenda ya Ethiopia | 1982 – 1983 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1439 ԹՎ ՌՆԼԹ |
Kalenda ya Kiislamu | 1411 – 1412 |
Kalenda ya Kiajemi | 1368 – 1369 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2045 – 2046 |
- Shaka Samvat | 1912 – 1913 |
- Kali Yuga | 5091 – 5092 |
Kalenda ya Kichina | 4686 – 4687 己巳 – 庚午 |
- 12 Januari - Andrey Marcel Ferreira Countinho, mchezaji wa mpira kutoka Brazil
- 3 Februari - Sean Kingston, mwanamuziki kutoka Jamaika
- 10 Februari - Sooyoung, mwigizaji wa filamu na mwanamuziki kutoka Korea Kusini
- 14 Machi - Zakaria Kibona, mchezaji wa mpira kutoka Tanzania
- 5 Aprili - Rhianna Ryan, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 23 Julai - Gracie Carvalho, mwanamitindo kutoka Brazil
- 12 Agosti - Mario Balotelli, mchezaji mpira kutoka Italia
- 16 Agosti - Deo Munishi, mcheza mpira wa Tanzania
- 28 Septemba - Kirsten Prout, mwigizaji wa filamu kutoka Kanada
- 28 Desemba - David Archuleta, mwanamuziki kutoka Marekani
bila tarehe
- April Jackson, mwanamitindo kutoka Jamaika
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 6 Januari - Pavel Cherenkov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958
- 27 Februari - Josephine Johnson, mwandishi kutoka Marekani
- 22 Juni - Ilya Frank, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1958
- 31 Julai - Fernando Sancho, mwigizaji filamu kutoka Hispania
- 30 Septemba - Patrick White, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1973
- 16 Oktoba - Art Blakey, mwanamuziki kutoka Marekani
- 22 Oktoba - Louis Althusser, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 17 Novemba - Robert Hofstadter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: