2 Februari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jan - Februari - Mac | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | ||||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 2 Februari ni siku ya thelathini na tatu ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 332 (333 katika miaka mirefu).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1831 - Uchaguzi wa Papa Gregori XVI
- 1990 - Rais F.W. de Klerk atangaza ya kuwa ANC si marufuku tena nchini Afrika Kusini
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1649 - Papa Benedikt XIII
- 1800 - John Edward Gray, mtaalamu wa zoolojia kutoka Uingereza
- 1882 - James Joyce, mwandishi kutoka Ueire
- 1886 - William Rose Benét, mshairi kutoka Marekani
- 1946 - Blake Clark, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1985 - Dennis Oliech, mchezaji mpira kutoka Kenya
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1769 - Papa Klementi XIII
- 1970 - Bertrand Russell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1950
- 1980 - William Stein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 1995 - Donald Pleasence, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
Sikukuu[hariri | hariri chanzo]
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya mtoto Yesu kutolewa hekaluni siku arubaini baada ya kuzaliwa; pia huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Akida Korneli
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 2 Februari kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |