25 Novemba
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Okt - Novemba - Des | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 25 Novemba ni siku ya 329 ya mwaka (ya 330 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 36.
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1185 - Uchaguzi wa Papa Urban III
- 1277 - Uchaguzi wa Papa Nikolasi III
- 1975 - Nchi ya Surinam inapata uhuru kutoka Uholanzi
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1844 - Karl Friedrich Benz, mhandisi Mjerumani na mtengenezaji motokaa
- 1926 - Tsung-Dao Lee, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1957
- 1980 - Aleen Bailey, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Jamaika
- 1980 - Aaron Mokoena, mchezaji mpira kutoka Afrika Kusini
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1185 - Papa Lucius III
- 1885 - Thomas Hendricks, Kaimu Rais wa Marekani (1885)
- 1935 - Iyasu V, mfalme mkuu wa Uhabeshi
- 1950 - Johannes Vilhelm Jensen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1944
Sikukuu[hariri | hariri chanzo]
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Katerina wa Aleksandria, bikira na mfiadini, na ya mtakatifu Petro I, askofu na mfiadini
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 25 Novemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |