1901
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | ►
◄◄ | ◄ | 1897 | 1898 | 1899 | 1900 | 1901 | 1902 | 1903 | 1904 | 1905 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1901 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1901 MCMI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5661 – 5662 |
Kalenda ya Ethiopia | 1893 – 1894 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1350 ԹՎ ՌՅԾ |
Kalenda ya Kiislamu | 1319 – 1320 |
Kalenda ya Kiajemi | 1279 – 1280 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1956 – 1957 |
- Shaka Samvat | 1823 – 1824 |
- Kali Yuga | 5002 – 5003 |
Kalenda ya Kichina | 4597 – 4598 庚子 – 辛丑 |
- 13 Januari – Alfred Bertram Guthrie, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1950
- 22 Januari - Mtakatifu Alberto Hurtado (padre Mkatoliki kutoka Chile)
- 28 Februari - Linus Pauling, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1954, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1962
- 29 Aprili - Hirohito, Mfalme Mkuu wa Japani
- 18 Mei - Vincent du Vigneaud, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1955)
- 4 Agosti - Louis Armstrong, mpuliza tarumbeta wa Jazz)
- 8 Agosti - Ernest Orlando Lawrence, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1939
- 20 Agosti - Salvatore Quasimodo, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1959
- 22 Septemba - Charles Huggins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1966
- 23 Septemba - Jaroslav Seifert, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1984
- 29 Septemba - Enrico Fermi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1938
- 5 Desemba - Walt Disney, mwongozaji filamu na mwanakatuni kutoka Marekani
- 5 Desemba - Werner Heisenberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1932
- 27 Desemba - Marlene Dietrich, mwigizaji filamu na mwimbaji kutoka Ujerumani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 22 Januari - Malkia Viktoria wa Uingereza (1837-1901)
- 27 Januari - Giuseppe Verdi, mtunzi wa opera kutoka Italia
- 13 Machi - Benjamin Harrison, Rais wa Marekani (1889-1893)
- 7 Agosti - Oreste Baratieri, jenerali ya Kiitalia aliyeshindwa 1896 katika mapigano ya Adowa.
- 9 Septemba - Henri de Toulouse-Lautrec, mchoraji wa Ufaransa
- 14 Septemba - William McKinley, Rais wa Marekani (1897-1901)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: