21 Mei
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Apr - Mei - Jun | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 21 Mei ni siku ya 141 ya mwaka (ya 142 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 224.
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1471 - Albrecht Dürer, mchoraji kutoka Ujerumani
- 1834 - Charles-Albert Gobat, mwanasiasa Mswisi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1902
- 1843 - Louis Renault, mwanasheria Mfaransa, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1907
- 1851 - Leon Bourgeois, mwanasiasa Mfaransa, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1920
- 1860 - Willem Einthoven, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1924
- 1934 - Bengt Samuelsson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 1936 - Günter Blobel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1999
- 1972 - The Notorious B.I.G., mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1861 - Mtakatifu Eujeni wa Mazenod, askofu nchini Ufaransa
- 1935 - Jane Addams, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931
- 1964 - James Franck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1925
Sikukuu[hariri | hariri chanzo]
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Eujeni wa Mazenod, askofu, na ya watakatifu Kristofa Magallanes, padri, na wafiadini wenzake 24.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 21 Mei kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |