Nepal
|
|||||
Kaulimbiu ya taifa: जननी जन्मभूमिष्च स्वर्गादपि गरीयसी (Sanskrit) "Mama na Taifa heri ya Mbinguni" |
|||||
Wimbo wa taifa: Rastriya Gaan | |||||
Mji mkuu | Kathmandu |
||||
Mji mkubwa nchini | Kathmandu | ||||
Lugha rasmi | Kinepali | ||||
Serikali | Jahmuri ya shirikisho Bidhya Devi Bhandari Khadga Prasad Oli |
||||
Maungano ya temi za Nepal {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
147,181 km² (ya 95) 2.8 |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
27,133,000 (ya 42) 26,494,504 180/km² (ya 62) |
||||
Fedha | Rupia ya Nepal (NRs. ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
NPT (UTC+5:45) (haitumiki) (UTC+5:45) |
||||
Intaneti TLD | .np | ||||
Kodi ya simu | +977
- |
Nepal ni nchi ya Asia ya Kusini kwenye milima ya Himalaya inayopakana na Uhindi na China.
Mlima Everest ambao ni mlima mkubwa kuliko yote duniani uko Nepal.
Yaliyomo
Siasa
Kisiasa Nepal iko katika kipindi cha mageuzi. Hadi 2006 mfalme alitawala peke yake baada ya kuvunja bunge. Mwaka huo alilazimishwa kurudisha bunge, nalo lilitangaza ya kwamba mfalme hana mamlaka tena na kumteua Mkuu wa nchi kwa muda. Tena kwamba bunge mpya litakalochaguliwa Juni 2007 litaamua juu ya katiba mpya.
Tarehe 28 Mei 2008 wananchi waliamua kumaliza ufalme likatangaza Nepal kuwa Jamhuri inayofuata demokrasia na kuwa na muundo wa shirikisho.
Watu
Wenyeji wametokana na wahamiaji waliotokea India, Tibet, China na Myanmar.
Hata lugha zinazotumika ni za jamii 4 tofauti. 44.6% wanaongea Kinepali ambacho ndicho lugha rasmi. Hicho ni mojawapo ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Wakazi wengi (81.3%) hufuata dini ya Uhindu. Ubuddha una 9% wa wakazi, ukifuatwa na Uislamu (4.4%), Ukirati (3.1%), Ukristo (1.4%) na dini za jadi(0.4%).
Tazama pia
Viungo vya nje
- (Kiingereza) Tovuti rasmi
- Nepal entry at The World Factbook
- Nepal from UCB Libraries GovPubs
- Nepal katika Open Directory Project
- Nepal at Encyclopædia Britannica
- Nepal profile from the BBC News
- Wikimedia Atlas of Nepal
- Planet Nepal Nepal Encyclopedia Project
- Cost of Living Index in Nepal - Statistics & Graphs of Nepali Citizen's Economic Power
- World Bank Summary Trade Statistics Nepal
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nepal kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |