1943
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | ►
◄◄ | ◄ | 1939 | 1940 | 1941 | 1942 | 1943 | 1944 | 1945 | 1946 | 1947 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1943 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1943 MCMXLIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5703 – 5704 |
Kalenda ya Ethiopia | 1935 – 1936 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1392 ԹՎ ՌՅՂԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1362 – 1363 |
Kalenda ya Kiajemi | 1321 – 1322 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1998 – 1999 |
- Shaka Samvat | 1865 – 1866 |
- Kali Yuga | 5044 – 5045 |
Kalenda ya Kichina | 4639 – 4640 壬午 – 癸未 |
- 25 Februari - George Harrison, mwanamuziki Mwingereza
- 19 Machi - Mario Molina (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1995)
- 6 Juni - Richard Smalley (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1996)
- 28 Juni - Klaus von Klitzing, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1985
- 15 Agosti - Barbara Bouchet, mwigizaji filamu wa Italia
- 20 Septemba - Sani Abacha, Rais wa 10 wa Nigeria (1993-1998)
- 30 Septemba - Johann Deisenhofer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1988
- 24 Oktoba - Joseph James Mungai, mwanasiasa wa Tanzania
- 27 Oktoba - George Cain, mwandishi wa Marekani
- 5 Novemba - Sam Shepard, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1979
- 27 Desemba - Joan Manuel Serrat, mwimbaji kutoka Hispania
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 28 Machi - Sergei Rachmaninoff, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 26 Juni - Karl Landsteiner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1930)
- 21 Agosti - Henrik Pontoppidan (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1917)
- 9 Oktoba - Pieter Zeeman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902
Wikimedia Commons ina media kuhusu: