1972
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | ►
◄◄ | ◄ | 1968 | 1969 | 1970 | 1971 | 1972 | 1973 | 1974 | 1975 | 1976 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1972 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 15 Desemba - Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linaanzisha mradi wa UNEP.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1972 MCMLXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5732 – 5733 |
Kalenda ya Ethiopia | 1964 – 1965 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1421 ԹՎ ՌՆԻԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1392 – 1393 |
Kalenda ya Kiajemi | 1350 – 1351 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2027 – 2028 |
- Shaka Samvat | 1894 – 1895 |
- Kali Yuga | 5073 – 5074 |
Kalenda ya Kichina | 4668 – 4669 辛亥 – 壬子 |
- 13 Mei - Giovanni Tedesco, mchezaji mpira wa Italia
- 2 Juni - Wentworth Miller, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 6 Juni - Peter Joseph Serukamba, mwanasiasa wa tanzania
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 7 Januari - John Berryman, mshairi kutoka Marekani
- 20 Februari - Maria Goeppert-Mayer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963)
- 7 Aprili - Abedi Amani Karume (Rais wa kwanza wa Zanzibar) alipigwa risasi
- 16 Aprili - Yasunari Kawabata (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1968)
- 27 Aprili - Kwame Nkrumah (Rais wa kwanza wa Ghana)
- 4 Mei - Edward Kendall (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 7 Juni - Karl Urban, mwigizaji wa filamu kutoka New Zealand
- 11 Agosti - Max Theiler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1951)
- 26 Desemba - Harry S. Truman, Rais wa Marekani (1945-53)
bila tarehe
- Edward Tingatinga, msanii kutoka Tanzania
Wikimedia Commons ina media kuhusu: