1993
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1989 | 1990 | 1991 | 1992 | 1993 | 1994 | 1995 | 1996 | 1997 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1993 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1 Januari - Nchi ya Chekoslovakia inatengwa kuwa nchi mbili, yaani Ucheki na Slovakia.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1993 MCMXCIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5753 – 5754 |
Kalenda ya Ethiopia | 1985 – 1986 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1442 ԹՎ ՌՆԽԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1414 – 1415 |
Kalenda ya Kiajemi | 1371 – 1372 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2048 – 2049 |
- Shaka Samvat | 1915 – 1916 |
- Kali Yuga | 5094 – 5095 |
Kalenda ya Kichina | 4689 – 4690 壬申 – 癸酉 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 6 Januari - Dizzy Gillespie, mwanamuziki kutoka Marekani
- 11 Februari - Robert Holley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968
- 20 Machi - Polykarp Kusch (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1955)
- 24 Machi – John Hersey, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1945
- 11 Aprili - Janet Bragg, rubani wa kike kutoka Marekani
- 13 Aprili – Wallace Stegner (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1972)
- 18 Aprili - Masahiko Kimura, mwanariadha kutoka Japani
- 24 Aprili - Oliver Tambo, mwanasiasa kutoka Afrika Kusini
- 19 Juni - William Golding (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1983)
- 31 Oktoba - Federico Fellini, mwongozaji wa filamu kutoka Italia
- 1 Novemba - Severo Ochoa (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1959)
- 7 Desemba - Wolfgang Paul, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
Wikimedia Commons ina media kuhusu: