1928
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | ►
◄◄ | ◄ | 1924 | 1925 | 1926 | 1927 | 1928 | 1929 | 1930 | 1931 | 1932 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1928 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1928 MCMXXVIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5688 – 5689 |
Kalenda ya Ethiopia | 1920 – 1921 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1377 ԹՎ ՌՅՀԷ |
Kalenda ya Kiislamu | 1347 – 1348 |
Kalenda ya Kiajemi | 1306 – 1307 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 1983 – 1984 |
- Shaka Samvat | 1850 – 1851 |
- Kali Yuga | 5029 – 5030 |
Kalenda ya Kichina | 4624 – 4625 丁卯 – 戊辰 |
- 6 Machi - Gabriel Garcia Marquez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1982)
- 12 Machi - Edward Albee (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, miaka ya 1967, 1976 na 1992)
- 6 Aprili - James Dewey Watson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1962
- 14 Mei - Che Guevara, mwanamapinduzi kutoka Argentina
- 12 Julai - Elias Corey (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1990)
- 26 Julai - Stanley Kubrick, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 6 Agosti - Andy Warhol, msanii kutoka Marekani
- 27 Agosti - Mangosuthu Buthelezi, kiongozi wa Kizulu na mwanasiasa kutoka Afrika Kusini
- 27 Agosti - Osamu Shimomura (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2008)
- 30 Oktoba - Daniel Nathans, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1978
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 30 Januari - Johannes Fibiger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1926)
- 4 Februari - Hendrik Antoon Lorentz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902)
- 2 Aprili - Theodore William Richards (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1914)
- 30 Agosti - Wilhelm Wien (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1911)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: