Israel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Kwa maana mbalimbali ya jina Israeli katika Biblia tazama Israeli (maana)

מדינת ישראל
Medīnat Yisrā'el
دولة إسرائيل
Dawlat Isrā'īl

Israel
Bendera ya Israel Nembo ya Israel
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: -
Wimbo wa taifa: Hatikvah ("Tumaini")
Lokeshen ya Israel
Mji mkuu Yerusalemu1
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini Yerusalemu
Lugha rasmi Kiebrania, Kiarabu
Serikali Jamhuri, serikali ya kibunge
Shimon Peres
Benjamin Netanyahu
Reuven Rivlin
Uhuru
Tangazo la uhuru

14 Mei 1948 (05 Iyar 5708)
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
20,770 km² (ya 151)
~2
Idadi ya watu
 - Desemba 2013 kadirio
 - 1995 sensa
 - Msongamano wa watu
 
8,134,1002 (ya 98)
5,548,523
324/km² (ya 34)
Fedha Shekel (₪) (ILS)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
IST (UTC+2)
(UTC+3)
Intaneti TLD .il
Kodi ya simu +972
1 Haitambuliwa kama mji mkuu na nchi nyingi duniani.
2 pmopja na raia wa Iaraeli kwenye maeneo ya Palestina, Yerusalemu ya Mashariki na Golan.



Israel (Kiebrania: מדינת ישראל - Medinat Yisra'el; Kar.: دَوْلَةْ إِسْرَائِيل - dawlat Isrā'īl) ni nchi ya Mashariki ya Kati kwenye mwambao wa mashariki wa Mediteranea. Imepakana na Lebanon, Syria, Yordani, Misri na maeneo chini ya mamlaka ya serikali ya Palestina.

Nchi ya kisasa ilianzishwa 14 Mei 1948 lakini kuna historia ndefu. Mji mkuu umekuwa Yerusalemu tangu 1950 lakini nchi nyingi hazikubali hivyo kwa sababu hali ya sheria ya kimataifa juu ya Yerusalemu haieleweki.

Takriban 80% za wakazi ni Wayahudi na 20 % ni Waarabu ambao ni Waislamu na Wakristo.

Lugha rasmi ni Kiebrania na Kiarabu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Europa Mapa.png Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Israel kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
BlankAsia.png Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Israel kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.