1960
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | ►
◄◄ | ◄ | 1956 | 1957 | 1958 | 1959 | 1960 | 1961 | 1962 | 1963 | 1964 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1960 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- Januari - Hali ya dharura inakwisha katika koloni ya Kenya - vita ya Mau Mau inatangazwa imemalizika
- 1 Januari - Uhuru wa Kamerun
- 9 Januari - Ujenzi wa Lambo la Aswan inaanza nchini Misri
- 23 Januari - Jacques Piccard na Don Walsh wakitumia nyambizi ya kisayansi ya USS Trieste wanateremka hadi kina cha (10,750 mita) chini ya UB katika Pasifiki
- 1 Februari - (Greensboro, N.C. (USA)) Wanafunzi wanne weusi wa Chuo cha Kilimo cha North Carolina wanapinga kutopewa huduma katika hoteli ya Woolworth's wakiketi chini na kukataa kuondoka. Hii ni mwanzo wa mateto mengine dhidi ya ubaguzi wa rangi katika majimbo ya kusini ya Marekani. Baada ya miezi sita wanafunzi walewale wanapokea chakula katika hoteli ile ya Woolworth's.
- 13 Februari - Bomu ya nyuklia: Mlipuko wa bomu ya nyuklia ya kwanza ya Ufaransa.
- 29 Februari - Mtetemeko wa ardhi inaharibu mji wa Agadir nchini Moroko, watu 10,000 - 15,000 wanakufa.
- 12 Machi - Mauaji ya Sharpeville: polisi ya Afrika Kusini yaua Waafrika 69 wakiandamana bila silaha.
- 4 Aprili - Senegal inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 27 Aprili - Togo inapata uhuru Ufaransa
- 26 Juni - Madagaska inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 26 Juni - Somalia ya Kiingereza inapata uhuru kutoka Uingereza
- 30 Juni - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inapata uhuru kutoka Ubelgiji
- 1 Julai - Somalia ya Kusini inapata uhuru kutoka Italia
- 1 Agosti - Benin inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 3 Agosti - Niger - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 5 Agosti - Burkina Faso (kwa jina la Volta ya Juu) - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 7 Agosti - Côte d'Ivoire - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 11 Agosti - Chad - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 13 Agosti - Central African Republic - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 15 Agosti - Jamhuri ya Kongo - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 16 Agosti - Kupro - inapata uhuru kutoka Uingereza
- 17 Agosti - Gabon - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 22 Septemba - Mali - inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 1 Oktoba - Nigeria - inapata uhuru kutoka Uingereza
- 28 Novemba - Mauritania - inapata uhuru kutoka Ufaransa
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1960 MCMLX |
Kalenda ya Kiyahudi | 5720 – 5721 |
Kalenda ya Ethiopia | 1952 – 1953 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1409 ԹՎ ՌՆԹ |
Kalenda ya Kiislamu | 1380 – 1381 |
Kalenda ya Kiajemi | 1338 – 1339 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2015 – 2016 |
- Shaka Samvat | 1882 – 1883 |
- Kali Yuga | 5061 – 5062 |
Kalenda ya Kichina | 4656 – 4657 己亥 – 庚子 |
- 21 Januari - Job Yustino Ndugai, mwanasiasa wa Tanzania
- 4 Aprili - Hugo Weaving, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 3 Mei - May Ayim, mwandishi Mwafrika kutoka Ujerumani
- 14 Julai - Angelique Kidjo, mwanamuziki kutoka Benin
- 1 Agosti - Chuck D (mwanamuziki kutoka Marekani)
- 12 Septemba - Musalia Mudavadi, mwanasiasa wa Kenya
- 30 Oktoba - Diego Maradona, mchezaji mpira kutoka Argentina
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 4 Januari - Albert Camus (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1957)
- 24 Aprili - Max von Laue (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1914)
- 30 Mei - Boris Pasternak (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1958)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: