BBC News | 13 Aug 2015
Klabu ya Chelsea inatarajiwa kukata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyoonyeshwa mlinda mlango Thibaut Courtois katika mchezo uliopigwa jumamosi dhidi ya Swansea
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameteua kamati itakayomshauri njia sahihi ya kupambana na
Hali ya tahadhari imetangazwa katika mji wa Marekani Ferguson. Mvutano ulienea baada ya kijana mweusi wa
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kwa
Yaya Toure aliiongoza Man City katika ushindi mnono dhidi ya West Brom ambapo Raheem Sterling aliyesajiliwa majira ya joto kwa dau la pauni milioni
Serikali ya Marekani imesema ina wasiwasi mkubwa kuhusiana na kuzuiwa kwa wapinzani tisini katika mji mkuu wa Cuba, Havana mwishoni mwa
Mtu mmoja kati ya wakimbizi kwenye kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma Kaskazini
Mtetezi mmoja wa haki za binaadam nchini Mexico aliyekuwa akizisaidia familia kuwapata ndugu zao waliopotea
Philippe Coutinho alikaribia kutolewa nje kabla ya kushinda asema Rodgers. Meneja wa klabu ya Liverpool
Wafuasi wa chama cha Economic Freedom Fighters- EFF, mwishoni mwa wiki
Utupaji wa choo kikubwa (kinyesi) cha mtoto katika eneo husika na katika
wanaume saba wamekamatwa mashariki mwa Pakistan wakihusishwa na kashfa za unyanyasaji watoto
Jeshi nchini Mali limesema zaidi ya watu kumi wameuawa katika shambulio moja kwenye mji wa Gaberi kaskazini mwa
Huko Marekani,mamia ya watu walisimama kimya kwa muda wa dakika nne na nusu kwa pamoja mjini
Kampuni kubwa zaidi duniani za mitandao ya kijamii Google,Facebook na Twitter zimekubaliana kuondoa utupu katika mitandao yao. Hii inafuatia kuenea kwa picha
Mtu mmoja amejeruhiwa vibaya huko Ferguson, Missouri, huko Marekani baada ya kisa cha ufyatulianaji risasi uliotokea katika dakika za mwisho mwisho za maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu kuuawa kwa mvulana mweusi Michael Brown na
Kiongozi wa mashtaka nchini Burundi amesema kuwa watu kadhaa wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya jenerali Adolphe Nshimirimana wamekamatwa Hata hivyo Afisa huyo anasema kuwa viongozi waliopanga njama ya kumua jenerali huyo wangali
Mwandishi wa habari za spoti amepigwa hadi kufa na mashabiki wa mchezaji aliyemkosoa katika ripoti yake. Rasim Aliyev raia wa Azerbaijan alimkashifu mchezaji nyota wa klabu ya Gabala ;Javid Huseynov, katika mtandao wa kijamii wa facebook. Aliyev aliandika ''
Washindi mara saba wa mbio za masafa marefu ya marathon za London Uingereza walikuwa na matokeo ya kutatanisha baada ya damu yao kupigwa msasa. Gazeti la Sunday Times la Uingereza limedai
Ibada maalumu za ukumbusho zinaendelea kufanywa katika mji wa Nagasaki, nchini Japan, kuadhimisha miaka 70 tangu kulipuliwa kwa bomu ya atomiki jijini humo. Katika