Uhindi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
भारत गणराज्य
Bhārata Gaṇarājya

Jamhuri ya Uhindi
Bendera ya Uhindi Nembo ya Uhindi
Bendera Nembo
Wito la taifa: "Satyameva Jayate" (Kisanskrit)
Kidevanāgarī: सत्यमेव जयते
("Ukweli pekee hushinda")
Wimbo wa taifa: "Jana Gana Mana
[[Image:|250px|Lokeshen ya Uhindi]]
Mji mkuu New Delhi
28°34′ N 77°12′ E
Mji mkubwa nchini Mumbai (Bombay)
Lugha rasmi Kihindi, Kiingereza na lugha nyingine 21
Serikali Jamhuri ya Maungano
APJ Abdul Kalam
Manmohan Singh
Uhuru
-ndani ya Jumuiya ya madola
-kama Jamhuri
Kutoka Uingereza
15 Agosti 1947
26 Januari 1950
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
3,287,590 km² (ya 7)
9.56
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
1,103,371,000 (ya 2)
1,027,015,247
329/km² (ya 20)
Fedha Rupee (Rs.)1 (INR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
IST (UTC+5:30)
not observed (UTC+5:30)
Intaneti TLD .in
Kodi ya simu +91

-

1 Re. is singular


India in its region (undisputed).svg

Uhindi (pia: India) ni nchi katika bara la Asia. Ni nchi ya kidemokrasia kubwa duniani. Kufuatana na idadi ya wakazi ni nchi ya pili duniani baada ya [China]. Kufuatana na eneo ina nafasi ya saba duniani. Imepakana na Pakistan, China, Nepal, Bhutan, Bangladesh na Myanmar. Mji mkuu ni New Delhi.

Wakazi walio wengi (80 %) hufuata dini ya Uhindu. Takriban 13 %- 14 % ni Waislamu; hivyo Waislamu wa Uhindi ni jumuiya ya pili katika dunia ya kiislamu baada ya waislamu wa Indonesia. Dini nyingine ni Ukristo, Usikh, Ubuddha na Ujain.

Lugha ya kitaifa ni Kihindi ambacho ni lugha ya Kihindi-Kiulaya. Kiingereza hutumiwa kama lugha ya kiutawala ya kitaifa pia kwenye ngazi ya majimbo. Kuna lugha 21 kubwa na lugha nyingi zisizo na wasemaji wengi sana. Katika kusini ya Uhindi watu husema lugha kama Kikannada, Kitelugu, Kitamil na Kimalayalam. Katika kaskazini husema hasa Kipunjabi, Kibengali, Kigujarati na Kimarathi.

Kiutawala Uhindi ni shirikisho la jamhuri lenye majimbo ya kujitawala 28 pamoja na maeneo ya shirikisho 7.

[hariri] Historia

:tazama pia: Uhindi wa Kiingereza


[hariri] Tazama pia

[hariri] Viungo vya Nje


Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.


Indie 2006.png Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uhindi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.